MAGUFUILI NA MUSEVEN WAENDELEA KUBORESHA USHIRIKIANO BAINA YA NCHI ZAO.


Marais wa Tanzania na Uganda wamesisitiza azma yao yakiboresha zaidi ushirikiano kati ya nchi zao.

Wamesema hayo kwenye uzinduzi rasmi wa kituo cha pamoja cha huduma za mpakani Mutukula.

No comments