NEMC YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA KWA KAULI MBIU YA "MISSION POSSIBLE"
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa mteja yenye kaulimbiu " Mission Possible" limeweka banda maalum katika ofisi zake ili kurahisisha huduma kwa wateja wake moja kwa moja.
Banda hilo limelenga kuboresha mawasiliano na kujenga mahusiano bora yenye kutoa fursa kwa wadau kutoa maoni, changamoto, pamoja na kupatiwa majibu ya papo kwa papo kuhusu huduma za mazingira.
Katika hatua nyingine Baraza Kupitia Kanda zake 13 limeendelea kutoa elimu ya Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira kwa wanachi
Ikiwa ni pamoja na kufanya ziara za ukaguzi (site visits) kwa wadau wake kujiridhisha na utekelezaji wa Kanuni za mazingira na kushughulikia changamoto zinazoibuliwa na wananchi


.jpeg)

.jpeg)

Post a Comment