POLISI WATOA TAARIFA KUHUSU KUKAMATWA MWAMBE

Jeshi la Polisi Nchini limetoa taarifa kuwa limemkamata aliyewahi kuwa Mbunge na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji  Mhe. Geofrey Mwambe, kwa tuhuma za jinai ambazo zinachunguzwa huku hatua zaidi za kisheria zikikamilishwa. 

No comments