MH MKUU WA WILAYA YA HAI - HASSAN BOMBOKO AMEENDELEA NA UTATUZI WA KERO MBALIMBALI ZA WANANCHI
“Tumejiwekea Utaratibu wa
kusikiliza na kutatua kero za wanachi katika maeneo yote ya kata na vijiji vya
wilaya ya Hai, Dhamira yetu ni kuhakikisha tunapeleka huduma zote za kijamii
kwa umma, Tunalenga kumuondolea usumbufu mwananchi wa kuhangaika kuitafuta
serikali akiwa na shida
Nitoe Rai kwa viongozi na
watumishi wenzangu wa serikali kushughulikia kwa kutafuta ufumbuzi na majawabu
ya shida za wananchi wetu” .-DC BOMBOKO









Post a Comment